Aliyeonja Pepo

Category

Sh7,000

In stock

In stock

Juma Hamisi, Muislam safi kutoka Bagamoyo anafariki na roho yake inaenda Mbinguni. Baadaye inafahamika kuwa hili ni kosa kubwa lililofanywa na Ziraili, Malaika mtoa roho. John Houghton wa Uingereza ndiye aliyestahili kutolewa roho siku hiyo. Ili kutatua tatizo hili, roho ya Juma Hamisi inabidi irudishwe duniani. Baada ya majadiliano ya muda na ili kuficha kosa hili lisigunduliwe, Ziraili na wenzake wanakubaliana kuirudisha roho ya Juma katika mwili mwingine, hata kama ni mwili wa paka