Our mission, journey, and the team behind our reading revolution.
Kavazi la kifeminia lenye hadithi na simulizi mbalimbali
Access tools, guides, and links to support your reading and learning journey.
Juma Hamisi, Muislam safi kutoka Bagamoyo anafariki na roho yake inaenda Mbinguni. Baadaye inafahamika kuwa hili ni kosa kubwa lililofanywa na Ziraili, Malaika mtoa roho. John Houghton wa Uingereza ndiye aliyestahili kutolewa roho siku hiyo. Ili kutatua tatizo hili, roho ya Juma Hamisi inabidi irudishwe duniani. Baada ya majadiliano ya muda na ili kuficha kosa hili lisigunduliwe, Ziraili na wenzake wanakubaliana kuirudisha roho ya Juma katika mwili mwingine, hata kama ni mwili wa paka
© 2025 SOMA | All rights reserved | Powered by Exppo.