Our mission, journey, and the team behind our reading revolution.
Kavazi la kifeminia lenye hadithi na simulizi mbalimbali
Access tools, guides, and links to support your reading and learning journey.
Sh25,000
In stock
In stock
Niliingia Bungeni Novemba, 1990 baada ya kushinda katika uchaguzi wa Ubunge jimbo la Chunya uliofanyika Oktoba 28 mwaka huo. Jimbo la Chunya lilianzishwa mwaka 1965 na mbunge wa Kwanza alikuwa Raphael Anthony Kinyonga. Kwa kumbukumbu zilizopo mimi nilikuwa mbunge wa nne kushika nafasi hii katika jimbo hili.
© 2025 SOMA | All rights reserved | Powered by Exppo.