Goshen University delegates a visit to soma

Soma had a lovely visit from Dr. Katherine Meyer Reimer, Education Department Chair at Goshen University. He was accompanied by 23 of her students who were taking part in a semester abroad study, here in Tanzania where they learn the art, language, culture and geography of the country, and also partake in Home stays. They […]

Majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita

Taasisi ya usomaji na maendeleo – Soma inapenda kukutaarifu kwamba, kesho tarehe 24/03/2017 siku ya Ijumaa kuanzia saa kumi kamili jioni, kutakuwa na majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita cha Enock Maregesi. Kolonia santita ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na dawa za kulevya. Inazungumzia vita kali kati ya Tume ya dunia ya umoja wa […]

Shindano la Uandishi wa Hadithi Fupi kwa njia ya Mtandao

[fusion_text] Je wewe ni mwandishi? Kama ndiyo, unandoto za kuandika na ungependa kuona kazi yako ikishindanishwa na kushinda? Soma Book Café inakuletea shindano la uandishi wa hadithi fupi kwa njia ya mtandao. Andika hadithi yako juu ya mada yoyote utakayoichagua ukizingatia vipengele vya fani na maudhui. Maneno yasizidi elfu moja (1000). Shindano litafungwa tarehe 15/04/2017 […]