Andika na Soma 2013… changia mada

Mzunguko wa pili wa shindano la fasihi, Andika na Soma 2013 unaanza na uchaguzi shirikishi wa dhamira. Ilipendekezwa na washiriki wa mzunguko wa kwanza 2012 kuwa inafaa washiriki wapate zaidi ya dhamira moja ya kandikia hadithi. Washindi 7 walioshiriki warsha ya uandishi wa hadithi fupi alialikwa kupendekeza dhamira  zinazowashughulisha zaidi vijana wa leo. Walipekeza dhamira […]